Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
MorningiiiMorning all
MorningiiiMorning all
Mmmh sasa hivi ndo inaonekana ile ya zamani ila toka asb ilikuwa ile isiyo na mvuto

MorningMorning family
Aisee mimi hili dude naliogopa.View attachment 355304
Hiyo hapo
Nimeitoa mkuu.Avatar ilikuwa mbaya!!!
Uhuru lenyewe wengine wakielekea Right lenyewe laelekea kushoto

MorningMorningiii
Ni JIPUUhuru lenyewe wengine wakielekea Right lenyewe laelekea kushoto![]()
Baba J???....vipi mkuu? Za kupotea?Baba ***** anabana sana my sisy so yatubidi kupotea mjini kwa mda fulani ila nashukuru kusikia upo poa na sisi wote tupo fit sana na wifi yako hapa..
Poa kabisa mutu ya kongo...Habari ya wewe?Baba J???....vipi mkuu? Za kupotea?
Anafanya kusudi

Nimepokea salam hizi kwa niaba..Habari ya kwako mkuu?Nawasalimu wakuu...
Aisee mimi hili dude naliogopa.

Naomba ulitumbueNi JIPU

Salbar kheirNawasalimu wakuu...
Me niko poa, chimbo wapi? Naona Baba J ameamuaPoa kabisa mutu ya kongo...Habari ya wewe?
Mwishoe litapotea katika orodha yetuNaomba ulitumbue![]()
Mkuu Baba J amebana na sasa inaelekea kupitiliza kabisa maana anavyobana mirija huko juu waathirika wakubwa ni sisi wa chini...Me niko poa, chimbo wapi? Naona Baba J ameamua