Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Angalia matusi hapaUlipotelea wapi sasa?
Mzima wewe mutu ya Tanga?Hapana mkuu.
Hata simjui![]()
![]()
![]()
Niko poa kabisa mkuu.Mzima wewe mutu ya Tanga?
Inabidi tumuombe siku tukamtembelee home kwake.Siyo tamaa bali nampa salute sana bwana jambilo kwa kuweza kutumia jambia lake vzuri

Ongozana na huyu..Napita tu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ni kweli huyu inabidi tumtembelee mkuuInabidi tumuombe siku tukamtembelee home kwake.![]()
![]()
![]()
Nilibanwa na majukumu kidogo, ila sasa nimerejea!! Umzima?Ulipotelea wapi sasa?
Ahsante!!Karibu sana mkuu Mussolin5
ImefutwaAngalia matusi hapa
Mnyooshe kidogo huyu mbumbumbu mkongwe Matola asituzoee
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/16450037
............
Hawa mods sometimes wanaboa sana basi tuKumlinda mkongwe
But tatizo halijafanyiwa kazi
..........
Sisi hatushindwi kitu nakomaa nao ht PM hadi tatizo lifanyiwe kazi na zikipita 3 days km bado narudi tena MEMBERS ONLYHawa mods sometimes wanaboa sana basi tu
Hawa mods nao jipu tu.Sisi hatushindwi kitu nakomaa nao ht PM hadi tatizo lifanyiwe kazi na zikipita 7 days km bado narudi tena MEMBERS ONLY
Mpaka kieleweke
..........
Subiri baada ya cku 3 tutaenda kukinukisha na jeshi zina la MakapukuHawa mods nao jipu tu.