Makapuku Forum

Makapuku Forum

HABARI NJEMA KWA KAPUKUZ :
.......................................................
Siku hizi mtu kuwa EXPERT MEMBER sio kufikisha idadi fulani ya post bali ni average post per day......utaratibu huu unasaidia kupunguza nyodo za wakongwe
Hadi sasa washashushwa vyeo wakongwe wengi tu na kuwa SENIOR MEMBER hata km wamejoin 2006 kinachoangaliwa ni wastani wa post zako kwa siku(Jumla ya post gawanya kwa siku)
Sasa yale matusi ya "mtu mwenyewe senior member ,umejiunga juzi TU" yatapungua
Tutaheshimiana
...............
 
babba5b7be3c7cecc5b7d1a83c09ea10.jpg
power bank
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom