sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Ila usiwe na wasiwasi msubiri jimena aje....Masela mimi nina njaa tukaribishane bac
Akija tuu shida zitakwisha....
Namuamin saana the boss..
Hamna miwa
Ila usiwe na wasiwasi msubiri jimena aje....Masela mimi nina njaa tukaribishane bac
Hamna miwa
Hamna miwaKaribu....ila chai hutapata
Hahaha kuwa mpole wewe. Uone uwezo wa Bailly. Kama huyo Jones daily pancha. Blind sio natural Centre back.Keshaanza kuharibu timu....miafrika ya Nini sijui...
Pale central back wakutosha tuu...
Smaling
Blind
Paddy macnar
Fotumensa
Phil john
Anyway amuuze phil john maaana hatutak mcheza ambae anaumia kila baada ya mech
Hahaha kumbe eeh.
Blind anafungasha viragoBenchi linamuhusuuu saana saana
Manchester hatupendi miafrika
UmemPM Invisible nnSio swaga. Ila naelekea kuitwa Bailly soon
Bado sijafanya hivyo. Unataka kuchange ili utumie jina lipiUmemPM Invisible nn
Na me ntabadilisha
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Keshaanza kuharibu timu....miafrika ya Nini sijui...
Pale central back wakutosha tuu...
Smaling
Blind
Paddy macnar
Fotumensa
Phil john
Anyway amuuze phil john maaana hatutak mcheza ambae anaumia kila baada ya mech
Hajui km Blind ni kiungo halisiHahaha kuwa mpole wewe. Uone uwezo wa Bailly. Kama huyo Jones daily pancha. Blind sio natural Centre back.
Man utd tulikuwa tunahitaji beki ya kati bado kiungo namba sita
Sasa hivi naitwa Th Name a.k.a Bailly hahahah
Duh kuna bwege anajiita Tozy ...watu kwa copy & paste nomaBado sijafanya hivyo. Unataka kuchange ili utumie jina lipi
Blind fullback left anaimudu vizuri sana. Ingawa anacheza namba nyingi uwanjani. Kwa msimu huu kweli ameonesha uwezo mkubwa pale nyumaHajui km Blind ni kiungo halisi
.............
Hahaha Tozy duuuh. Mimi siwezi kutumia a.k.a yangu humu. Ila nilitamani nitumieDuh kuna bwege anajiita Tozy ...watu kwa copy & paste noma
Sina mpango wa kubadilisha coz naitwa Bitoz tangu Primary
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Ndio ila ni Kiungo halisi ...Van Girl ndo alimfanya awe beki 3 world cupBlind fullback left anaimudu vizuri sana. Ingawa anacheza namba nyingi uwanjani. Kwa msimu huu kweli ameonesha uwezo mkubwa pale nyuma
Ngoja nifatilie. Ila sitapenda kuona anauzwaNdio ila ni Kiungo halisi ...Van Girl ndo alimfanya awe beki 3 world cup
........
Ninayo a.k.a niliyopewa chuo inajulikana hadi na ndugu zangu ndo maana nimechagua hiyo ya Bitoz coz haijulikani wao walikuwa wananitania tu "ww Bitoz au...ww Bishoo TU" kwahiyo hawawezi kunijuaHahaha Tozy duuuh. Mimi siwezi kutumia a.k.a yangu humu. Ila nilitamani nitumie
Sasa namba siita ndio atacheza blind...Hahaha kuwa mpole wewe. Uone uwezo wa Bailly. Kama huyo Jones daily pancha. Blind sio natural Centre back.
Man utd tulikuwa tunahitaji beki ya kati bado kiungo namba sita
Sasa hivi naitwa Th Name a.k.a Bailly hahahah
Nimekusoma ndugu. Sometimes fake id zinatufanya tuwe huru.Ninayo a.k.a niliyopewa chuo inajulikana hadi na ndugu zangu ndo maana nimechagua hiyo ya Bitoz coz haijulikani wao walikuwa wananitania tu "ww Bitoz au...ww Bishoo TU" kwahiyo hawawezi kunijua
Insta & FB natumia a.k.a ambayo nimepewa chuo na inajulikana
.......