Makapuku Forum

Makapuku Forum

3253007ae0da7881909701858c8912f2.jpg

Hawa je?
.........
Ha hahhahhh hao ndio watalii wakuuu....
 
Nimekusoma ndugu. Sometimes fake id zinatufanya tuwe huru.

Olevel nilikuwa na a.k.a nyingine ma advance nyingine ambayo nilitumia mpaka chuo
Mi nilisajili JF ID ambayo ni a.k.a inayofahamika
Baada ya wiki 1 nikaachana nayo baada ya kugundua JF imejaa wakorofi hivyo ningeweza kutukana mtu bure
..........
 
Hajui km Blind ni kiungo halisi
.............
Ila akicheza kiungo dah timu inapwaya mnoo....bora acheze pembeni....

Alafu kati ningependa mo atengeneze partnership ya fotumensa na smaliing
Blind fullback left anaimudu vizuri sana. Ingawa anacheza namba nyingi uwanjani. Kwa msimu huu kweli ameonesha uwezo mkubwa pale nyuma

Ndio ila ni Kiungo halisi ...Van Girl ndo alimfanya awe beki 3 world cup
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom