Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Njema kabisa, habari ya wewe?Habari ya asubuhi wakuu
Njema kabisa, habari ya wewe?Habari ya asubuhi wakuu
Morning kwako pia bila shaka tutapokea magazeti mda si mda?Morning family.... Nimeshaamka hivyo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nithibitishie kwa picha please
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nithibitishie kwa picha please
Hahahah siku moja moja tu kaka.Mkuu nimeona maongezi yako na shemeji yangu hapo juu nikaona si mbaya nikikujulisha azma ya serikali juu ya jambo hilo utapewa muda wa kujitetea lakini utakuwa huko Central then ukithibitika wewe unafanya kazi usiku utaachiwa teh teh teh
AaahSalama kiongozi umeamkaje?
Magazeti ya leo yanafuata sasa
Teh teh na ukija Central we uliza afande Maradona nitakuwepo pale na hutobuguziwa mkuu.Hahahah siku moja moja tu kaka.
Huko central nitajieleza vizuri kabisa hahahah
Thanks babe