Makapuku Forum

Hapana, sikulijua hilo

Haaahaa,
Mzee Nyerere alishawahi kuagiza.
Basi kuna mzee X alipewa kazi ya kuyaleta huko akapewa na moja extra akilifanya liwe lake.
Ile kuliona town akauliza ni la nani wakamwambia nia la Mzee X; wacha Mwalimu afure hasira akamwita jamaa akamwambia hiyo extra ilikuwa ni yangu siyo yako.
Haya ya sasa naogopa Sabotage tu!
 
Hahahaha yule mzee ni balaa mwache apumzike kwa amani tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…