Makapuku Forum

Makapuku Forum

Thanks to you guyz

Since nimekuja umu, its a love fest, like family

Once a kapuku, always a kapuku

Asante prezda aka mkuu wa kaya

Edited version
Jinsi ya kuedit post
Bonyeza ile post husika bila kuachia mpaka ijihighlight then achia, angalia icon zitakazokuja kisha chagua ile kama kijipen au ile alama ya spana, iclick kisha utaedit post yako na itasomeka vile utakacho
Nasubiri mrejesho kwasababu najua wewe sio slow learner
 
Hongera kwake sana, ni juhudi zake tu sasa kuhakikisha anafanya vizuri zaidi
8b5433cf81cac52cfe0eee749c231933.jpg
Amfunguze huyu na baiskeli yake ya kitoto

.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom