makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,866
- 104,056
Jose mara mtoto wa kimara......tulikuwa wote hapa jukwaani yanini kuwataja kama sebene la Jose Mara!?
Hiyo saa 10 uliyomuona ndugu yangu makaveli10 , wewe ulikuwa wapi, shemegi!?
Nimekumbuka ule wimbo wa asha, fm akademia, aliimba poa sana mule...