Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Ubarikiwe zaidiiii we mzeeNadhani, Tayari

Ubarikiwe zaidiiii we mzeeNadhani, Tayari

Ahsante,Ubarikiwe na wewe Shangazi 🙏🙏🙏Ubarikiwe zaidiiii we mzee![]()
Sasa kama mmeamua kupeana hela huko gizani kulikuwa na haja gani ya kuja kuturingishia hapa jukwaani! Nimeumia kwakweliUbarikiwe zaidiiii we mzee![]()
Sasa kama mmeamua kupeana hela huko gizani kulikuwa na haja gani ya kuja kuturingishia hapa jukwaani! Nimeumia kwakweli


Em niache mie nitoe baraka zanguMwenye kisu kikali ndio hula nyama sasa nimeamini, mi msela kapuku sina kitu basi naonekana sina levels. Nahisi kuchanganyikiwa.Em niache mie nitoe baraka zangu
Ebu ukoooooMwenye kisu kikali ndio hula nyama sasa nimeamini, mi msela kapuku sina kitu basi naonekana sina levels. Nahisi kuchanganyikiwa.


Hatujambo kabisa hofu ni kwako tu
Merci beaucoup, Mkuu, mchana mwema na wewe