Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20250324_073816_InstaPro2%20.jpg
 
Mamba hawazeeki kwa namna sawa kama binadamu au Wanyama wengine.

Kwa miaka yote ambayo Mamba ataishi, seli zake hazioneshi kabisa kuharibika au kupungua kinga. Hata mifumo mingine ya mwili huendelea kukua kama kawaida kwa kipindi chote atachoishi.

Kinachowaua Mamba, kwa asilimia kubwa ni changamoto za kimazingira, mfano mabadiliko ya hali hewa, ugumu wa kupata chakula sababu namna anavyozidi kukua na ndivyo kiasi cha chakula atahitaji kula zaidi.
Screenshot_20250324_074204_InstaPro2%20.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom