Shunie asante kwa magazeti, nayasoma muda muafaka kabisa baada ya kuona taa za wikend zimewaka na saa zinaonesha kuwa naweza kuingia hapa kuwaslimia wadau wote wa jukwaa hili.
Siku za kazi zinategemea na pale unapopatia mkate wako, kwa wengi Ijumaa ndo mwanzo wa weekend na kama kawaida wapo wale waotufanya tunajisikia vizuri kwa kuona sura na maandishi yao, unajua nataka kusema nini. Wikend njema wadau.
Wale uzao wangu tunakumbuka enzi hizi, waliufanya muziki utupe mwonekano wa kitajiri na walkman zetu huku tukiibiana wapenzi kwa kuazimana tape/kanda za radio
Shunie asante kwa magazeti, nayasoma muda muafaka kabisa baada ya kuona taa za wikend zimewaka na saa zinaonesha kuwa naweza kuingia hapa kuwaslimia wadau wote wa jukwaa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.