Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wapendwa wa Makupuku na Wana JF wote.......Salamu...

Kwa moyo wa majonzi na simanzi kubwa nawataarifu juu wa mwenzetu Shunie ambaye amempoteza Baba yake Mzazi...

Msiba umetokea leo saa tatu Jumatano Asubuhi....Taratibu za msiba, mazishi taarifa italetwa hapa..

Kila mmoja kwa namna yake anaweza kumpa pole mwenzetu huyu...

Kuhusu Rambirambi na mengineyo...Itafanyika vile Mtakavyoshauri pia...

Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...

Asanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa

Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea

Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi
 
Asanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa

Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea

Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi
It shall be well Love...

Mungu wa Mbinguni yeye atoae faraja ambayo hapana Mwanadamu anaweza kutoa....Na azidi kukufariji na kukutia nguvu kila iitwapo leo...

Tunakuombea..
 
Asanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa

Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea

Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi
Pole sana Shunie kwa msiba
 
Asanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa

Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea

Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi
Tuko pamoja mdau Shunie
Pole sana kwa msiba na faraja ikuangazie wewe na familiy yako. Haijalishi, japokuwa hayupo ila anaishi. Maisha lazima yaendelea.
Shukrani kwa members ambao walituwakilisha kwa hali na mali.
 
Asanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa

Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea

Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi
Auntie Mungu azidi kuwa mfariji wenu, baba amevipigana vita na sasa amepumzika. Tuzidi kumuombea apumzike kwa amani na kumuenzi kwa mema aliyotufunza.
 
Asanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa

Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea

Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi
pendaeli Barikiwa sanaaaa mkuu pale ulipotoa ubarikiwe maradufu
 
Wapendwa wa Makupuku na Wana JF wote.......Salamu...

Kwa moyo wa majonzi na simanzi kubwa nawataarifu juu wa mwenzetu Shunie ambaye amempoteza Baba yake Mzazi...

Msiba umetokea leo saa tatu Jumatano Asubuhi....Taratibu za msiba, mazishi taarifa italetwa hapa..

Kila mmoja kwa namna yake anaweza kumpa pole mwenzetu huyu...

Kuhusu Rambirambi na mengineyo...Itafanyika vile Mtakavyoshauri pia...

Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...
Pole sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom