Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Wapendwa wa Makupuku na Wana JF wote.......Salamu...
Kwa moyo wa majonzi na simanzi kubwa nawataarifu juu wa mwenzetu Shunie ambaye amempoteza Baba yake Mzazi...
Msiba umetokea leo saa tatu Jumatano Asubuhi....Taratibu za msiba, mazishi taarifa italetwa hapa..
Kila mmoja kwa namna yake anaweza kumpa pole mwenzetu huyu...
Kuhusu Rambirambi na mengineyo...Itafanyika vile Mtakavyoshauri pia...
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...
Asanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea
mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoaObe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali
sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe
Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi 
