MOSES PHIRI POWER DYNAMOS
.
Aliyekuwa Mshambuliaji wa Simba, Moses Phiri yeye anakwenda kwa Mkopo katika klabu ya Power Dynamos ya Zambia ambayo atakuwa huko hadi mwisho wa msimu.
.
Kabla yakupatwa na majeraha yaliomuweka nje ya uwanja kwa kipindi kirefu Phiri alikuwa chaguo la kwanza ndani ya kikosi. Uongozi wa Simba unaamini Phiri atakaporejea kikosini atakuwa imara zaidi na kurudi katika makali yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.