Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Mwili wa Mwanaume mmoja ambaye jina lake halijafahamika umeopolewa maeneo ya Jangwani leo January 23,2024.
Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Shayo ameiambia @AyoTV_ kwamba walipata taarifa saa 3:45 asubuhi na walifika haraka kwa ajili ya uopoaji “Huyu aliyefariki ambaye mwili wake tumeuopoa ni Mwanaume ila hatujajua chanzo cha kifo chake ni kipi”
Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Shayo ameiambia @AyoTV_ kwamba walipata taarifa saa 3:45 asubuhi na walifika haraka kwa ajili ya uopoaji “Huyu aliyefariki ambaye mwili wake tumeuopoa ni Mwanaume ila hatujajua chanzo cha kifo chake ni kipi”
Kwa sass tunakabiliwa na kazi kubwa ya kumfunga Mcongo halafu Zambia na Morocco watoke sare au Zambia wafungwe. Ni kazi ngumu. Ulazima wa kumfunga Congo ni moja kati ya kazi ngumu katika soka. Wanatuzidi mambo mengi kuanzia uwezo na hadhi ya mchezaji mmoja mmoja hadi kucheza kitimu. Wana timu haswa.
️ 3” Fereirra