Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Wakubwa wapo itasoma tu ,muda badoKuna niniiiiii nipo busy na kujibu wishes za birthday jamaniii msiniiite kama miamala
Wakubwa wapo itasoma tu ,muda badoKuna niniiiiii nipo busy na kujibu wishes za birthday jamaniii msiniiite kama miamala
Ni leo yaani nipo busy
Asante sana we mzee barikiwaHahahaha,happy birthday,kumbe ni leo
Kwamba we unajitoa si ndio ebuWakubwa wapo itasoma tu ,muda bado

Hahahaha,mie tena?Kwamba we unajitoa si ndio ebu![]()
Ubarikiwe zaidi na uwe na maisha bora mazuri furaha amani na marefu , Mungu akulindeAsante sana we mzee barikiwa
Hutaki kunitumia zawadi unajitoa si ndioHahahaha,mie tena?
Ameen Ameen jamaniiii tubarikiwe sote we mzeeUbarikiwe zaidi na uwe na maisha bora mazuri furaha amani na marefu , Mungu akulinde


Ndio manini hayo?Ni leo yaani nipo busy
Asante auntie yangu nikupendae tuma na muamama sasa![]()
Ndio manini hayo?
Unajua typing error na unajua nini nilimaanisha tuma muamalaHahahaha,dah sijajitoa ila siwezi kuwa kimbelembele ,ila unaeza pata , zawadi si yoyote tu inatosha?Hutaki kunitumia zawadi unajitoa si ndio
Asante auntie yangu mzuri mzuriii, asante kwa kuwa pembeni yanguTo my Auntie Shunie
A very Happy birthday to you Mama
Ahsante kwa kila kitu kwangu...I wish ningekuwepo leo..Maana hunaga jambo dogo Auntie yangu wewe
Huyu Yesu na azidi kukutunza.....Baraka zake ziwe na wewe kila iitwapo leo...
Nakupenda.

nakupenda mnooooo 
nimecheka auntie leo bwana napokea miamala tu na hapa nimeshafanyiwa booking ya kutolewa dinner na dada angu baadae tutaonana 

Hapana zawadi ni miamala we mzeeHahahaha,dah sijajitoa ila siwezi kuwa kimbelembele ,ila unaeza pata , zawadi si yoyote tu inatosha?

Hahahaha hapo kwenye miamala hapo ndio utata, maana hujui muamala gani ndio standard ya muhusika , ktk hili la miamala ngoja nimuachie Lee Na wadau wengine , nisijichanganye bure ...Happy birthday againHapana zawadi ni miamala we mzee![]()
Afadhali , huko ktk miamala wako wadau wakuuHapana zawadi ni miamala we mzee![]()
Sawa niache na wadau wa miamalaAfadhali , huko ktk miamala wako wadau wakuu
mzee wa kujishtukiaHahahahaSawa niache na wadau wa miamalamzee wa kujishtukia