Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,144
Aaah bwana nipe hela yangu 😂😂😂Kama nini?
Aaah bwana nipe hela yangu 😂😂😂Kama nini?
Wewe tena!!!Niseme nini tena mimi?
Kaka yenu sio mtu yule alinipiga teke la tumbo mxxxxxieee muuaji yule sina ham nae nikamtukaanaaa, nikamfutilia mbali .. ila sasa hivi nammiss eti![]()

Lazima ummiss my wiii ila nimefurahi mnoooo kukuona kipenzi
Auntie yangu kivuruge nilikumiss humu mnooo huyo kwa avatar yako ni nani etiiShunie nakusalimu kwa jina la jamhuri.
Makiwendo nipo njiani nakuja kufuata hela yangu.
makaveli10 nakupenda sana.
Wengine muendelee kupumua.
Asante auntie ila sasa hivi niliingia kwa app ikagoma etiii imebidi niende kwa browser nipost narudi kwa app inakubali sasa sijui jf hawataki nitumie app sielewiiHongera Auntie..
Nakukubali sana make nimefurahi kuona uwepo wakoWakongwe, hali zenu ndugu zangu.
Obe juzi nimepita mwembe YANGA nikamkuta shabiki wa simba, nikaona ajabu la 7 la temeke.
Lee vipi mzee wa costant K!?
Makiwendo Nimekumiss mzee mwenzangu.
Shunie akee, unajua vile nakukubali.
Mtaalam mtu chake, nakusalim kaka
Na watu wengine wote niliowasahau kwa bahati mbaya
Kwahiyo mie kivuruge daaah!! Hizi njama za kunichafua nani anawalipa?Auntie yangu kivuruge nilikulikumiss humu mnooo huyo kwa avatar yako ni nani etii
Hawa ndio wanatufanya tufanye ya ferouz mwisho wa siku unatongoza kwa mara ya pili..![]()


Ni vzr,kushikana na mzee mwenzio ,inapendeza sanaEeh, tunashikana wazee kwa wazee, vijana hawataki hata kutusikia.
Mimi huyu wa kulazwa kabisa kisa mapenziKwahiyo mie kivuruge daaah!! Hizi njama za kunichafua nani anawalipa?
Nilikumiss kweli auntie, nikakumbuka ili nikupate nije huku.
Makiwendo aliniambia umeachwa na lile jambazi umelazwa mloganzila.
niache kutafuta maokoto nilazwe na mapenzi woiiiii sio mimiHuyo kwa avatar ni mimi auntie.Auntie yangu kivuruge nilikumiss humu mnooo huyo kwa avatar yako ni nani etii
Kwahiyo ushatoka?Mimi huyu wa kulazwa kabisa kisa mapenziniache kutafuta maokoto nilazwe na mapenzi woiiiii sio mimi
Mrudishe yule mtotoHuyo kwa avatar ni mimi auntie.
Sijatoka wala sitoki tupo pamoja yaani hatoki mtu haingii mtuKwahiyo ushatoka?