Moja ya vigezo vya CAF kwa nchi kuwa mwenyeji wa Afcon ni uwepo wa viwanja sita ambapo viwili viwe na uwezo wa kuchukua kila kimoja watu 40,000 na vingine viwili kila kimoja kiikichukua watu 20,000 na pia viwanja viwili kila moja kikiwa na uwezo wa kuchukua watu 15,000.
️ 90’ Martinez
️ 24’ Dorsey
️ 33’ Bassi