Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Hivi huu uzi upotee kwako tu jamaniUzi unapoteaga tatizo!!![]()

Hivi huu uzi upotee kwako tu jamaniUzi unapoteaga tatizo!!![]()

Hatutaki🤣🤣🤣Sijamtisha mtu auntie nimetoa taarifa mnywe kistaarabu
Si ndio nashangaa jamani🙆🙆Hivi huu uzi upotee kwako tu jamani![]()
Si ndio nashangaa jamani![]()


Hivi inakuwaje hauuoni si uingie chit chat uutafute kama haupo juuKufwa tutakufwa tu🤣🤣🤣Sasa kunyweni muunguze maini hayo na mkufwe
Naona uvivu. Mie nasomaga tu ninazokutana nazo kwenye timeline.Hivi inakuwaje hauuoni si uingie chit chat uutafute kama haupo juu
Ila cha moto mtakiona hivi hilo ini umeliangalia vizuri kweliiKufwa tutakufwa tu![]()

Naona uvivu. Mie nasomaga tu ninazokutana nazo kwenye timeline.


Basi usilalamike auntie yangu kama umepotea
He he umeniota nini eti
He he nimekumiss pia dear juzi kati nilikuona unapambana kwenye thread nilioandikiwa we mtu thread ya kwanza imefungwa unaandika nyingine na zote zilifungwa na kuungwa sijui alitumwa na nani woiiii
HahahahaUmesimama nimechuchumaaa sijui tulikuwa tunafanya nini
Hiyo thread bado iko Auntie?He he nimekumiss pia dear juzi kati nilikuona unapambana kwenye thread nilioandikiwa we mtu thread ya kwanza imefungwa unaandika nyingine na zote zilifungwa na kuungwa sijui alitumwa na nani woiiii

MamboHiyo thread bado iko Auntie?
Hata kama imefungwa nipitepo tu![]()
Poa Swahiba...Mambo
Poa kabisa,mzima wewePoa Swahiba...
Mambo?
Mzima sana...Poa kabisa,mzima wewe
Mie niko poa kabsa, hivi swahiba na wewe hujaandikiwa uzi ,nikausomeMzima sana...
Hofu kwako?
Mie niko poa kabsa, hivi swahiba na wewe hujaandikiwa uzi ,nikausome



Sijaandikiwa Swahiba...
Sina babe jf na haitatokea kuwa na babeBabe wako mpya alikuandikia thread?