Simba SC imetangaza kukamilisha usajili wa mlinzi wa kati Che Fondoh Malone raia wa Cameroon (24) aliyekuwa akicheza Coton Sport FC de Goroua .
Che Malone anamudu kucheza nafasi mbili uwanjani , beki wa kati au beki wa kulia amekuwa tegemezi kwenye Kikosi cha Cotom Sports hata timu ya taifa ya Cameroon ameitwa mara kadhaa.
Vipi hali ya bahari huko ..!View attachment 2682853
Anakaba mpka umbeya huyu beki