Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Wadau kimya mda huuMi niko poa man
Wadau kimya mda huuMi niko poa man
Yes hata hiyo yumo, halafu mwenziyo movie sishikagi hata majina yaani nikishika jina ujue yaani hiyo imenibamba siyo masihara, majina ya movie nilizoshika nyingi ni zile za utoto ila ukubwani huwa naangalia kujiburudisha nikimaliza na story imeishia hapo hapo.Yupo kwenye fast and furious movies si ndio
Wengine wapo kwenye mafoleni ndo wanatoka makazini, wengine ndo wanafungafunga biashara zao.. tuwape mda tu watakujaWadau kimya mda huu
Ni kweli maana blue Monday ni tabu sanaWengine wapo kwenye mafoleni ndo wanatoka makazini, wengine ndo wanafungafunga biashara zao.. tuwape mda tu watakuja
Ila Avatar hii nimepewa zawadi na best yangu mmoja humuHuyo kwenye avatar ni LA gata au?
![]()
![]()
Yes hata hiyo yumo, halafu mwenziyo movie sishikagi hata majina yaani nikishika jina ujue yaani hiyo imenibamba siyo masihara, majina ya movie nilizoshika nyingi ni zile za utoto ila ukubwani huwa naangalia kujiburudisha nikimaliza na story imeishia hapo hapo.
Kumbe, hongera DadaIla Avatar hii nimepewa zawadi na best yangu mmoja humu
Acha tu, unakutana na viporo vya tangu ijumaa + wikend... na pengine umeamka na mning'inio. Tabu tupuNi kweli maana blue Monday ni tabu sana
Tumshukuru Mungu kwa yoteAcha tu, unakutana na viporo vya tangu ijumaa + wikend... na pengine umeamka na mning'inio. Tabu tupu
Yupo fast&furious ya ngap? Mbona kama sijamnotisi ila amecheza movie nyingi sana huyu manziView attachment 350301ni huyu au
Ile baada ya kutoka Brazil inanayofata wanaenda ulaya. Ndo wanakutana huyo manzi maanaYupo fast&furious ya ngap? Mbona kama sijamnotisi ila amecheza movie nyingi sana huyu manzi
Huyu huyu ngoja nikutupie nyingine uoneView attachment 350301ni huyu au
Huyu Dada ameigiza movie nyingi. Nipe hiyo nyingineHuyu huyu ngoja nikutupie nyingine uone
Dah poa, itabidi nikajikumbushie tena aisee.. Dizain naanza kusahau hiviIle baada ya kutoka Brazil inanayofata wanaenda ulaya. Ndo wanakutana huyo manzi maana
Fanya hivyo.Dah poa, itabidi nikajikumbushie tena aisee.. Dizain naanza kusahau hivi