everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,037
Naomba uniletee migebuka pleaseeeeeLake Tanganyika
Kigoma treni station
........
Naomba uniletee migebuka pleaseeeeeLake Tanganyika
Kigoma treni station
........
Aisee! Pako vizuri.. panafaa kabisa kwa utalii wa ndaniLake Tanganyika
Kigoma treni station
........
Pia Maite ni mwanamuziki mkubwa tu huko kwao ila anaimba kispanishJina lake kamili huyu binti anaitwa Maite Perroni kama sijakosea na ndiyo yeye yuko kwenye Fast & Furios ya 6 nadhani..Ni shida sana huyu binti..
Nashukuru sana. Huyu Dada anajua kuigiza sana. Kuna movie sikumbuki jina vizuri ila ni nzuri. Los Angeles inavamiwa kama na mapredator yeye ameigiza kama mwanajeshiKaka umesamehewa uwe na Amani,picha nyingine hii![]()
Maite ni alieigiza la gataSidhani kama hilo jina ni sahihi aisee
Na kati ya reli ilipoishia
Hapo sawa. Yule wa fast and furious anaitwa Michelle RodriguezMaite ni alieigiza la gata
Kwema habari ya jumatatu?kwema humu
Mkuu hii cjaichek, inahusu nini niitafuteKuna moja ya black American inaitwa new Jersey drive ya kitambo kidogo.
Reli ya pembeniNa kati ya reli ilipoishia
Poa kabisaFresh mkuu, za huko ulipo?
Hiyo movie unayoisema ndo ilinifanya nianze kumpenda .Nashukuru sana. Huyu Dada anajua kuigiza sana. Kuna movie sikumbuki jina vizuri ila ni nzuri. Los Angeles inavamiwa kama na mapredator yeye ameigiza kama mwanajeshi
Yes uko sawa kabisaHapo sawa. Yule wa fast and furious anaitwa Michelle Rodriguez
OKNaomba uniletee migebuka pleaseeeee
Boxer tuUlibeba nguo za kuogelea?? [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Loh[emoji23] [emoji23] [emoji23]Reli ya pembeni
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
Teenagers wa New Jersey kazi yao kubwa kuiba magari ya Watu mtaani na kufanya fujo. Sasa kuna askari mzungu anawafatilia. Daily wanakamatwa ila hawakomi. Wengine wanauliwa kabisa.Mkuu hii cjaichek, inahusu nini niitafute
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji15] [emoji15]Boxer tu
.......
Tutakuchungulia[emoji85]Boxer tu
.......