YaanYaani cantu wazuri kwa mafuta tu na shampoo ila styling gel na cul activator hakuna kitu eco nzuri sana kwa styling
Me uko nimeshatoka kipenzi nipo apa nikichoka nitarudi kwenye natural View attachment 2545698
bora ningekuuliza kabla ya 🤣Product yao nzuri sana kwa mafuta, shampoo na steaming ila uko kwengine hapana kwakweli me curl activator ipo tu na hivi nywele sio natural
hizi nywele nimeweka curl unaijua we mtoto wa juzi nikiwa na mitoko yangu navaa wig tu kama hivi
Hapana sio ya mchongo kipenzi curl hiyohiyo niliweka nywele zikiwa natural mambo ya dawa nilishaacha mda mrefu mpaka nimesahau ndio nimerudi kuweka curl na na nywele zikirefuka napunguza yaani sipendi nywele ndefu kabisa yaani sijui ndio uzeeebora ningekuuliza kabla ya
Curl nayoijua ni ile wanaweka kwa nywele og isiyo na tone la dawa.
Hiyo yako ya mchongo ee
Umpendeza
Kadress kakali
Mambo ya night outs![]()
ila nikizichoka narudi kwenye natural zangu hii kichwa yangu naijua sikawii kuchoka kitu haraka

Attachment haifunguki.Hapana sio ya mchongo kipenzi curl hiyohiyo niliweka nywele zikiwa natural mambo ya dawa nilishaacha mda mrefu mpaka nimesahau ndio nimerudi kuweka curl na na nywele zikirefuka napunguza yaani sipendi nywele ndefu kabisa yaani sijui ndio uzeeeila nikizichoka narudi kwenye natural zangu hii kichwa yangu naijua sikawii kuchoka kitu haraka
Asante dear
Nywele zangu natural zilikuwa hivi nikaenda saloon kukata zote na kuanza upya mpaka nimekuja kuweka curl
View attachment 2545810
Mbona zinafutika 😂Halafu jf kuna mda ukifuta pic inagoma jamaniiii nimejionea leo
Hahhaha nilikuwa nafuta mara kadhaa imenigomea mpaka nikajaribu na kujaribu ikakubaliMbona zinafutika
Mpk hiyo ya 3 sijaona
Na una nywele imejaa.. kwanini husuki?Na saloon inayojielewa ukienda nywele ina dawa au hata wave hawakuweki curl kabisa mpaka naturalView attachment 2545813
😂😂 unaeditHahhaha nilikuwa nafuta mara kadhaa imenigomea mpaka nikajaribu na kujaribu ikakubali
Yaani kusuka ndio kitu sitaki kabisa kusikia yaani sipendi kusuka bora nivae wig tuuu kuliko kusuka yaani ghafla tuNa una nywele imejaa.. kwanini husuki?
Yale yule ile curl ilimkata nywele vibaya mno.. nywele unaigusa ni inanyonyoka tu.
Toka hapo, mtu haniambii kitu na curl nikaelewa![]()
Tena hiyo ndio imenigomea sasa mpaka nikaamua kufuta kabisaunaedit
Unaondoa attachment