Kumekucha amkeni msomr magazeti sasa


Unachocheka auntie yangu naomba ubaki navyo mwenyewe niachee nimeokoka usinitoe upako
Umeamkaje etiii
KaribuAhsante
🤣🤣🤣🤣🤣Unachocheka auntie yangu naomba ubaki navyo mwenyewe niachee nimeokoka usinitoe upako
Hujambo?Abeeh we mzee
Auntie nimesema niacheee
Auntie habari za jana?

me na we jana hatujaonana humu
Sijambo we mzee habari za weweHujambo?
😂😂😂😂😂Sema haki ya nani!!Auntie nimesema niacheeeme na we jana hatujaonana humu
Auntie una nini lakini ebu niache mie habari za jana nimeshasahauSema haki ya nani!!


Yaani unaanzaje kuzisahau? Huo ni ukosefu wa adabu.Auntie una nini lakini ebu niache mie habari za jana nimeshasahau![]()
Auntie kweli unicheke habari za jana na zako bado hazijaisha na mmeshaishaYaani unaanzaje kuzisahau? Huo ni ukosefu wa adabu.

Auntie mimeuliza za jana. Wewe subiri kesho ndio uniulize🤣🤣Auntie kweli unicheke habari za jana na zako bado hazijaisha na mmeshaisha![]()
Hapana auntie tunamaliza leo leoAuntie mimeuliza za jana. Wewe subiri kesho ndio uniulize![]()

ukiona mwenzio ananyolewa tia maji nywele zako sio unamcheka