Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
LUIS JOSE MIQUISSONE ::.
“Kama nitarudi Tanzania nitakuja kucheza Simba, siwezi kwenda klabu nyingine nisikilize mimi. Nimesikia mambo mengi kwenye mitandao lakini muda utaongea. Nikisema nizungumze kiundani zaidi yanaweza kutafsiriwa tofauti.”
SIMBA SC 

