Furahday njema wema wa Jukwaa hili na zaidi nawatakia usiku mzuri kuelekea sikukuu ya Krismas.
Mnaosafiri kuungana na familia msimu huu basi safari njema na mfurahie sikukuu vizuri. Ndugu yenu nitakuwa na sikukuu nzuri (Mungu ikimpendeza) nikiwa kibaruani (siku hiyo ndiyo siku pekee tunaruhusiwa kunywa na kulewa kidogo, kila mtu na tafasiri yake)
Mcheze salama mnaoamini katika kukutana bahati mabaya kwenye wiki la sikukuu, kondomize
CONFIRMED: NKANE NJE WIKI 6
.
Winga wa Yanga, Deniss Nkane atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha wiki sita baada ya vipimo kuonyesha amevunjika mfupa mdogo unaosababisha nyonga kujikunja.
.