Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,245
- 90,421
hahahahaha.KEY WORD 'jambo lako akutunzie' hadi nimepaliwa na bia hp.kwa kuchekaMkimuona Makiwendo mwambieni uncle (mimi sio mjomba)anampa hi sana. Anaruhusiwa kucheka na kila mtu, ma-uncle hatuna wivu wala. Ila jambo langu anitunzie..
nitiii wapiii me mtu akiniquote najibu kama kawaida najua nakutana na mvua yangu ya maneno si nimeshamzoea umeshanikuta na mazoea na watu we unataka kunikatisha nao kesho tukiachana unigombanishe na watu nitacheka na nani
hahahahahaha.mm bana uzee unanijia vby shangazi
Wengine sisi kupenda ugonjwa.na ukipenda na kawivu kako. Si nitakufa na presha ?
swahiba .
Itakuwa ngumu Swahiba...
hahahahaha.KEY WORD 'jambo lako akutunzie' hadi nimepaliwa na bia hp.kwa kucheka
hahahaha aucle umetisha
swahiba unanicheka.au nimekufurahisha?
Imagine niache kusalimiana kama hivi na Swahiba hapa.... Si nitaumwa homaswahiba .
Umenifurahisha Swahiba...swahiba unanicheka.au nimekufurahisha?
hahahaha.najitahidi hilo lisitokee
Pole Swahiba...Bia hizo zisije kukuniga tukakukosa....
Kabisa Swahiba....lipite mbali.hahahaha.najitahidi hilo lisitokee
hahahahaha. Nami nikiona swahiba umeniwekea 'kindege' naeza kufa ujueImagine niache kusalimiana kama hivi na Swahiba hapa.... Si nitaumwa homa
hahahahahaUmenifurahisha Swahiba...
Nimecheka sana
Mimi sio mjomba, wajomba wapo migombani wanapambania kombe huko, mie uncle
Well received Mjomba....
Ila kutunza hilo jambo sasa!!!!!Mmmmmh..
hahahahaha
Well received Mjomba....
Ila kutunza hilo jambo sasa!!!!!Mmmmmh..
hahahahaha.aucle kuwa na amani. Mie mjomba na mjomba mama.kwann binti asifurahie neno la mjomba akeHuyu mtu chake anayekuchekesha hivi ana maana gani? Mwamba hem twende taratibu, mchekeshe kidogo tu atamalizia kwangu...
hahahahaha. Nami nikiona swahiba umeniwekea 'kindege' naeza kufa ujue
Mimi sio mjomba, wajomba wapo migombani wanapambania kombe huko, mie uncle. Ukishindwa kunitunzia jambo langu tunavunja undugu..haha!