Makapuku Forum

WhatsApp wameachia uwezo mpya ambao unawawezesha "admins" wa makundi kuweza kufuta ujumbe wowote uliotumwa kwenye kundi.

Admin ataweza kufuta ujumbe ndani ya siku 02 tangu ujumbe ulipotumwa! na watu wataweza kuona taarifa ya ujumbe kufutwa na admin yupi aliyefanya hivyo!
 
This is not good
 
hahahaha.hata sie wajomba na wazee wa makapuku hatuna shida na mtu kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…