Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi Auntie hii huwa Inafanyaje kazi?..
Ni kitu sikielewi kabisa...Naona watu hapa JF wanaizungumzia tu...
Ni app tu kama jf siwezi elezea sana naweza pewa ban kabla jf hawajazuia notifications ilikuwa inaturahisishia sana kupata ila toka jana naona haifunguki sijui jf wameshaipa ban
 
Ni app tu kama jf siwezi elezea sana naweza pewa ban kabla jf hawajazuia notifications ilikuwa inaturahisishia sana kupata ila toka jana naona haifunguki sijui jf wameshaipa ban
Ooooh...
Ahsante kunielewesha kwa sehemu Auntie....

Mimi siijui hiyo kitu jamani...
 
Ooooh...
Ahsante kunielewesha kwa sehemu Auntie....

Mimi siijui hiyo kitu jamani...
Ni app unaifollow jf yaani ni nzuri ndio hivyo wakazuia notifications na huko hatupati na jana naona ukifungua huwezi ingia jf auntie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom