Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuendelee kumwagilia moyo auntie, angalau huo tutakwenda nao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwakweli acha niishie tu nilipofikia ujue kuna mda unakuwa kama chizi yaani kila hela ukipata unaipeleka site halafu mwisho wa siku unakufwa wanagawana ndugu vitu vyako we unaoza tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwakweli acha niishie tu nilipofikia ujue kuna mda unakuwa kama chizi yaani kila hela ukipata unaipeleka site halafu mwisho wa siku unakufwa wanagawana ndugu vitu vyako we unaoza tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
...ila aunt unakumbuka safari yangu ya kuja Dar, nije kuona daraja la Tanzanite nipige na picha!? Nilishindwa na sasa najichanga niongeze kidogo ili niende hapo mlimani, si wamesema 950 tu, yaani nikiwa na buku wananirudishia fifte. Hapa namsneak in Makiwendo kwa ajili ya kuutazama mlima hadi kileleni
Niko hapa Obe....

Wewe endelea kuzisaka hizo Mula tuje tuzitumie...
 
.....mobitel walinipa meseji nyingi kuliko mahitaji yangu.
Sababu mimi nikiandika na kulitakia penzi jipya siku njema sijui tena niandike nini!?
Hapa nasubiri muda ufike niandike good morning
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom