Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,063
Unachocheka nimekielewa
Unachocheka nimekielewa
Nakuachaje na unakazana na vitu vya ajabu njiani?


Ila auntie umeongea point ujue
Sasa auntie unapingana na tafiti
Auntie unatufunga kamba eeh!!
🤣🤣🤣🤣🤣Ila auntie umeongea point ujue
Aaah!! Hapana kwakweli.Sasa auntie unapingana na tafiti
Tuendelee kumwagilia moyo auntie, angalau huo tutakwenda nao.


Kwakweli acha niishie tu nilipofikia ujue kuna mda unakuwa kama chizi yaani kila hela ukipata unaipeleka site halafu mwisho wa siku unakufwa wanagawana ndugu vitu vyako we unaoza tu
Mwambieee chakudeka wako aturudishie kumbe ulimwachia ulivoenda kwa cheupeeeeeHa ahahahaj, ulikuwa unaniambia nikapaki ili tutumie pajero lako.



Hahahahahahaha bosslady tokea lini itakuwa espy alishika simu yakooNiko poa sijui ndio ex babe sijui ndio ushakuwa nani babe wa watu.naomba tu muamala usome yaani nipo juu ya mawe we hata kunikopesha nikopeshe tu
![]()
Kwakweli acha niishie tu nilipofikia ujue kuna mda unakuwa kama chizi yaani kila hela ukipata unaipeleka site halafu mwisho wa siku unakufwa wanagawana ndugu vitu vyako we unaoza tu















Sasa kwanini uwaachie matatizo ya kugombana ndugu zako?Kwakweli acha niishie tu nilipofikia ujue kuna mda unakuwa kama chizi yaani kila hela ukipata unaipeleka site halafu mwisho wa siku unakufwa wanagawana ndugu vitu vyako we unaoza tu
Shikamoo mama mkweSasa kwanini uwaachie matatizo ya kugombana ndugu zako?
Marahaba kikuu! Hujambo wewe?Shikamoo mama mkwe
Niko hapa Obe.......ila aunt unakumbuka safari yangu ya kuja Dar, nije kuona daraja la Tanzanite nipige na picha!? Nilishindwa na sasa najichanga niongeze kidogo ili niende hapo mlimani, si wamesema 950 tu, yaani nikiwa na buku wananirudishia fifte. Hapa namsneak in Makiwendo kwa ajili ya kuutazama mlima hadi kileleni
.....mobitel walinipa meseji nyingi kuliko mahitaji yangu.
Sababu mimi nikiandika na kulitakia penzi jipya siku njema sijui tena niandike nini!?
Hapa nasubiri muda ufike niandike good morning











Si ndio dada yangu!!
Bado nikakuweke kwenye bango sokoni kabisa.
Auntie umekuwa kama Espy jamani....
Imagine na deni lake ananitangaza kila mahaliJF ndiyo usiseme
![]()
Hebu mwambie huyo....mawazo haya unafanya sisi wapangaji tuonekane hatuko makini. Wewe kunywa bia, nyumba haijengwi kwa laki moja
Mbona KipenziSi ndio dada yangu!!
Na kampango ka kulisha twiga usikasahau kipenzi changu![]()
