Makapuku Forum

Makapuku Forum

...ila aunt unakumbuka safari yangu ya kuja Dar, nije kuona daraja la Tanzanite nipige na picha!? Nilishindwa na sasa najichanga niongeze kidogo ili niende hapo mlimani, si wamesema 950 tu, yaani nikiwa na buku wananirudishia fifte. Hapa namsneak in Makiwendo kwa ajili ya kuutazama mlima hadi kileleni
Niko hapa Obe....

Wewe endelea kuzisaka hizo Mula tuje tuzitumie...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom