Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
KWA MAANDALIZI HAYA MTAUMIA
.
Nyota wa Kikosi cha Simba [emoji1241] wanashuka tena dimbani kesho kucheza mchezo wa TATU wa kirafiki dhidi ya timu ya Haras El Hodood iliyopanda daraja ya kushiriki Ligi Kuu ya Misri [emoji1093] msimu ujao mtanange utakaopigwa katika Mji wa Cairo.
.
Mchezo huo utapigwa kesho saa 10 Jioni kwa saa za Misri ambapo ni sawa na saa 11 kwa hapa nyumbani.
…………….
.
Nyota wa Kikosi cha Simba [emoji1241] wanashuka tena dimbani kesho kucheza mchezo wa TATU wa kirafiki dhidi ya timu ya Haras El Hodood iliyopanda daraja ya kushiriki Ligi Kuu ya Misri [emoji1093] msimu ujao mtanange utakaopigwa katika Mji wa Cairo.
.
Mchezo huo utapigwa kesho saa 10 Jioni kwa saa za Misri ambapo ni sawa na saa 11 kwa hapa nyumbani.
…………….