Makapuku Forum

Makapuku Forum

“Nikupongeze sana Kaka, hongera kwa kila kitu kwakuwa wewe ni binadamu mwema sana, mpira wa miguu hatuchezi kushinda tu bali kuweka heshima mioyoni mwa watu” Dani Alves, ujumbe wake kwa Sadio Mane baada ya tuzo
Screenshot_20220726-201249_OGInsta%2B.jpg
 
“Kuanzia sasa timu ya Wanawake watalipwa sawa na timu ya Wanaume kwenye ngazi zote za timu za taifa” Danny Jordan, Mwenyekiti wa chama cha soka Afrika Kusini
Screenshot_20220726-201406_OGInsta%2B.jpg
 
“Nachukia sana mpira wa kisasa, ufundi ni mdogo sana na kila kitu kwasasa ni kasi na nguvu, mpira wa kisasa hatoi nafasi ya kuonesha ufundi” Thiago Alcantara

Kiungo anataka kampa kampa tena[emoji3]
Screenshot_20220726-201521_OGInsta%2B.jpg
 
[emoji599]| Barcelona wamefanya mazungumzo ya moja kwa moja na mchezaji Jules Kounde huku tayari wamekubaliana maslahi binafsi na mchezaji anaitaka Barcelona, inasemekana Chelsea wana dau kubwa zaidi ila Mchezaji huyo hayupo tayari kwenda London.
Screenshot_20220726-201831_OGInsta%2B.jpg
 
“Bye dady, bye mamy.” Hayo ndio maneno ya mwisho waliyoyatoa watoto wawili wa familia moja waliofariki dunia katika ajali ya basi iliyoua watu 11 wakiwamo wanafunzi tisa, wakiwaaga wazazi wao kabla ya kuondoka nyumbani kwenda shuleni.

Akisimulia kwa uchungu, Stella Yohanna ambaye ni mama wa watoto hao wawili amesema kuwa hiyo ndio ilikuwa tabia yao na asubuhi baada ya kuwaanda walikwenda kumuaga baba yao kabla ya mama huyo kuwapeleka kwenye gari la Shule ya Msingi ya King David.

Stella ambaye ni mkazi wa Mtwara mjini amepoteza watoto wake wawili katika ajali hiyo ambayo imetokea asubuhi leo Jumanne Julai 26, 2022 eneo la Mjimwema, Kata ya Mikindani, Mtwara Mjini wakati watoto wakipelekwa shuleni.
View attachment 2304851
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
“Bye dady, bye mamy.” Hayo ndio maneno ya mwisho waliyoyatoa watoto wawili wa familia moja waliofariki dunia katika ajali ya basi iliyoua watu 11 wakiwamo wanafunzi tisa, wakiwaaga wazazi wao kabla ya kuondoka nyumbani kwenda shuleni.

Akisimulia kwa uchungu, Stella Yohanna ambaye ni mama wa watoto hao wawili amesema kuwa hiyo ndio ilikuwa tabia yao na asubuhi baada ya kuwaanda walikwenda kumuaga baba yao kabla ya mama huyo kuwapeleka kwenye gari la Shule ya Msingi ya King David.

Stella ambaye ni mkazi wa Mtwara mjini amepoteza watoto wake wawili katika ajali hiyo ambayo imetokea asubuhi leo Jumanne Julai 26, 2022 eneo la Mjimwema, Kata ya Mikindani, Mtwara Mjini wakati watoto wakipelekwa shuleni.
View attachment 2304851
Oooh Lord!!
 
[emoji404] SAJILI ZA SIMBA
.
[emoji1268] Moses Phiri (Zanaco)
[emoji1241] Nassoro Kapama (Kagera Sugar)
[emoji1241] Habib Kyombo (Mbeya Kwanza)
[emoji1184] Victor Akpan (Coastal Union)
[emoji1110] Augustine Okrah (Bechem United)
[emoji1081] Mohammed Quattara (Al Hilal)
[emoji1184] Nelson Okwa (Rivers United)
[emoji1068] Cesar Manzoki (Vipers FC)
Screenshot_20220727-081726_OGInsta%2B.jpg
 
DAAH..!! Mwanetu Ronaldo Atletico Wamemkataa
.
Ndo hivyo, Rais wa Atletico Madrid amefunguka kuhusu uvumi wa Cristiano Ronaldo kutakiwa na klabu yake:
.
“Sijui ni nani aliyevumisha hizi habari kuhusu Cristiano Ronaldo kutakiwa na Atletico Madrid. Sio za kweli.”
Screenshot_20220727-081858_OGInsta%2B.jpg
 
Back
Top Bottom