Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukweli Utabaki kusemwa ..

Lugha rahisi kusema hapa Simba sc ndio Klabu yenye mashabiki wengi vijana .

Mimi sio Gaidi .
Screenshot_20220727-082210_OGInsta%2B.jpg
 
[emoji3578] Khalid

Jemedari Said na Harakati za Mzee wetu Nelson Mandela .

Kipindi Taifa la Watu Afrika Kusini liko kwenye utawala wa Waholanzi kulikuwa na wanaharakati wengi ambao walipambana kuona Afrika kusini Siku moja inakuwa huru kutoka kwenye mikono ya Wa “ Dutch” Mapambano ya wanaharakati wengi yalionekana kugonga Mwamba na wengine kufa ,akiwa Gerezani Nelson aliwaza juu ya Taifa lake la Afrika kusini , alilifikilia zaidi Neno Afrika kusini kuliko familia yake , watu wa Jamhuri ya Afrika Kusini walikuwa Wapole mpaka Mwaka 1990 Nelson Mandela alipoachiwa huru na Frederik Willem De Klerk kutoka gereza la Robben kuja kulifanya Taifa la Afrika kusini kuwa huru .

Story inafanana Jemedari Said “ Bin Kazumari “ labda watu wengi walikuwa hawamfahamu ila ni mmoja Kati ya wana harakati wa Soka la Tanzania kabla hata ajaanza kufanya kazi kwenye Radio na Televisheni , watu wanaomfahamu wanasema Jemedari anaishi robo tatu ya Maisha yake kwenye mpira , anapenda mpira , anafatilia mpira , Anajua mpira na nzuri zaidi amecheza mpira na anajua kuongelea mpira .

Tangu amepata nafasi ya kusikika Kwenye Radio Jemedari amekuwa kama Nelson Mandela amewafungua watu wengi masikio hasa pale anapoongea kuhusu mpira , anagusa hisia na masikio ya watu wengi juu ya ukweli wa mpira wetu wa Tanzania.

Tasnia ilikosa watu wa jamii ya Jemedari kwenye kusema ukweli wa Mpira wetu , Nina Heshima kubwa na Wakubwa wetu kama Edo Kumwembe, Shaffih Dauda , Salahe Jembe na wengine wengi wamecheza vizuri nafasi zao kuongelea mpira wetu ila Jemedari amekuja kupiga Rangi sehemu ambazo zilisahaurika na Wana habari wakongwe wa Nyuma .

Mpira wetu unaitaji watu wakweli na wasiogopa kusema ukweli kama Jemedari Saidi .

Naona baadhi ya mambo yameanza kukaa sawa na Maji yameanza kujitenga na mafuta , tumeanza kuona tofauti ya Kunde na njegere.

Kila la Kheri Bin Kazumari .

[emoji860]@jemedarisaid ( The Voice of the Voiceless)

Screenshot_20220727-082616_OGInsta%2B.jpg
 
HUYO POGBA TRIPU SHAMBA, TRIPU GEREJI
.
Majanga. Paul Pogba amepata maumivu ya goti ikiwa ni siku 14 tu tangu aliponaswa na Juventus na jambo hilo linatarajia kumuweka nje ya uwanja kwa muda usiopungua miezi miwili.
.
Kiungo huyo Mfaransa, Hivi karibuni alishindwa kuendelea na mazoezi na Juventus na miamba hiyo ya Serie A, sasa imethibitisha kwamba amepata maumivu kwenye goti, kiasi cha kuhitaji kufanyiwa upasuaji ambao utamfanya awe nje ya uwanja kwa miezi miwili.

………….
Screenshot_20220727-083057_OGInsta%2B.jpg
 
Chelsea, Barca ni ubaya kwa ubaya
.
Rasmi Chelsea imesitisha mazungumzo na wawakilishi wa Barcelona yaliyokuwa na lengo la kuwauzia mabeki wao Wahispania [emoji633] Cesar Azpilicueta, 32, na Marcos Alonso, 31, katika dirisha hili.
.
Chelsea imefikia hatua hiyo baada ya Barca kuonekana imepania kupindua meza kuipata huduma ya Jules Kounde.
Screenshot_20220727-083214_OGInsta%2B.jpg
 
MWAKINYO ARUDI BONGO
.
Baada ya kuishi Marekani [emoji631] kwa miezi kadhaa, bondia namba moja nchini [emoji1241] Hassan Mwakinyo ameamua kurudi Tanzania.
.
Akiwa Marekani, Mwakinyo ameporomoka kwa nafasi kadhaa kwenye ubora wa ndondi duniani n sasa ni Bondia wa 33 kwenye uzani wa super welter, kabla ya kuondoka nchini alikuwa nafasi ya 17 ingawa amebaki nafasi ya kwanza nchini akiporomoka moja Afrika.
.
“Amerudi nchini, ingawa hajaja Tanga, yuko Dar es Salaam bado, lakini ana mpango wa kucheza pambano kubwa baadae mwaka huu na anaendelea na mazoezi,” amesema kocha Hamis Mwakinyo ambaye pia ni kaka wa Mwakinyo.
Screenshot_20220727-083446_OGInsta%2B.jpg
 
Trust me ukiachana na selfies zako na wale uwapendao basi hii ndio selfie bora zaidi kuwahi kutokea, niamini mimi.

LEGENDARY[emoji98]

[emoji1201] Luis Figo
[emoji1054] Roberto Carlos
[emoji1054] Cafu
[emoji1081] Didier Drogba
[emoji1062] Samuel Eto'o
[emoji633] Xavi
Screenshot_20220727-083622_OGInsta%2B.jpg
 
[emoji599]| Luis Suarez amekamilisha uhamisho wa kujiunga na klabu ya Nacional ya nchini kwao Uruguay baada ya mkataba wake na Atletico Madrid kutamatika.

Suarez alipokea ofa nyingi barani Ulaya ila amechagua kurejea nyumbani kwao
Screenshot_20220727-083745_OGInsta%2B.jpg
 
LA JOYA, PAUL DYBALA leo ametambulishwa kwenye klabu yake ya mpya ya AS Roma

Maelfu ya mashabiki walijitokeza kwenye eneo maalum kumkaribisha Fundi wa mpira
Screenshot_20220727-083855_OGInsta%2B.jpg
 
Back
Top Bottom