Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
[emoji599] EXCL: Taarifa kutoka kwenye vyanzo vya ndani ya Simba zinasema, straika mpya Cesar Manzoki, huenda akajiunga na kikosi hicho dirisha dogo linalofunguliwa Desemba mwaka huu.
.
Habari za Ndani zinasema, licha ya straika huyo kusainishwa mkataba wa awali, lakini mabosi wake wa zamani, Vipers ya Uganda wameleta ugumu kwa kutaka ilipwe Dola 200,000 (zaidi ya Sh 450 milioni za miezi miwili iliyosalia za mkataba na mchezaji huyo)
.
Inaelezwa Vipers imekomaa mchezaji huyo amebakiza mkataba wa miezi miwili na kama Simba inamtaka basi ilipe fedha hizo, kitu ambacho mabosi wa Msimbazi wameona isiwe tabu, wanamwacha aendelee kukipiga Vipers, kisha wambebe Disemba kama Mchezaji Huru.
.
Habari za Ndani zinasema, licha ya straika huyo kusainishwa mkataba wa awali, lakini mabosi wake wa zamani, Vipers ya Uganda wameleta ugumu kwa kutaka ilipwe Dola 200,000 (zaidi ya Sh 450 milioni za miezi miwili iliyosalia za mkataba na mchezaji huyo)
.
Inaelezwa Vipers imekomaa mchezaji huyo amebakiza mkataba wa miezi miwili na kama Simba inamtaka basi ilipe fedha hizo, kitu ambacho mabosi wa Msimbazi wameona isiwe tabu, wanamwacha aendelee kukipiga Vipers, kisha wambebe Disemba kama Mchezaji Huru.