Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mwili wa Dereva Bodaboda Dominick Kigula (31) aliyeuwawa kwa kuchomwa kisu yeye pamoja na Mpenzi wake Esther Shiyago (25) amezikwa leo Julai 22, 2022 katika makaburi ya Sechelela yaliyopo kata ya Makulu Dodoma.

Wawili hao waliuawa alfajiri ya Jumatano wakiwa kwenye nyumba aliyopanga Dominick mtaa wa Msangalee, kata ya Dodoma Makulu jijini Dodoma na hadi sasa Mtuhumiwa wa mauaji haya hajatajwa na Polisi lakini inaaminika kuwa chanzo ni wivu wa kimapenzi.

Marehemu Dominick ameacha mtoto wa miaka minne. View attachment 2300712
Haya mapenzi jamani!! Alionywa hakukoma, ona sasa limemkuta jambo🙆🙆
 
Hahaha hahaha hapa tayari kazi umepata tatizo nakumbuka uliniuzia korosho ulizo changanya na kokoto nikiwaza tu hivyo nguvu zinaniishia
...duh, nilidhani tuliyamaliza haya kimya kimya pale nilipokuletea mabibo kiroba kizima na anko Lee akakuelezea kilichotokea.
Wakulima wana shida sana. Ukitaka korosho tena nakuuzia kwa bei ya punguzo
 
Back
Top Bottom