Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,192
- 35,370
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niacheeee. [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niacheeee. [emoji1787][emoji1787]
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Asanteeeee auntieeee nyieeeee simba rahaaaa
shangazi nimefanya nn..?We mzee bwana. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hahahahahahaWe auntieee tuma account no hiyooo
Nijikute tu!!Ukipewa nyingi Unigawiepo.....
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yupo na penzi jipya ukooo akiachika atarudi hapahapa vina mda basi
Nilikuwa nazuga ajiongeze🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] Maana sijakuelewa ulivyojibu nimesoma mara mbilimbili ni wewe kweli
🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ya kukulinda wewe yaani nacheka mimi
My hyper auntie😍😍😍🤣🤣🤣Huyu ndio auntie yangu oggg ninayemjua sasa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya mapenzi jamani!! Alionywa hakukoma, ona sasa limemkuta jambo🙆🙆Mwili wa Dereva Bodaboda Dominick Kigula (31) aliyeuwawa kwa kuchomwa kisu yeye pamoja na Mpenzi wake Esther Shiyago (25) amezikwa leo Julai 22, 2022 katika makaburi ya Sechelela yaliyopo kata ya Makulu Dodoma.
Wawili hao waliuawa alfajiri ya Jumatano wakiwa kwenye nyumba aliyopanga Dominick mtaa wa Msangalee, kata ya Dodoma Makulu jijini Dodoma na hadi sasa Mtuhumiwa wa mauaji haya hajatajwa na Polisi lakini inaaminika kuwa chanzo ni wivu wa kimapenzi.
Marehemu Dominick ameacha mtoto wa miaka minne. View attachment 2300712
...duh, nilidhani tuliyamaliza haya kimya kimya pale nilipokuletea mabibo kiroba kizima na anko Lee akakuelezea kilichotokea.Hahaha hahaha hapa tayari kazi umepata tatizo nakumbuka uliniuzia korosho ulizo changanya na kokoto nikiwaza tu hivyo nguvu zinaniishia
Na wewe wa kuniombea haya 🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yupo na penzi jipya ukooo akiachika atarudi hapahapa vina mda basi