Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,896
- 183,233
🤣🤣🤣Wacha weeh
Auntie hebu niwache!!
🤣🤣🤣Wacha weeh
Huu wema umeuanza lini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uniaibisha We' Mtoto...
Si alisema hapa.[emoji28]Kumbe analima[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Antonio Nugaz....Swahiba[emoji28]Auntie ndio nani huyu?
Nipo hivyo....Unajisahaulisha[emoji1787]Huu wema umeuanza lini?
shangazi huwa napenda namna unavyowasilisha hz habari,una taluma ya uandishi nnKABUNDA HUYO KATUA NAMUNGO
.
Moja ya wachezaji wenye mbio na chenga za maudhi uwanjani ni Winga wa KMC, Hassan Kabunda ambaye taarifa zinaeleza amejiunga na Namungo kwa mkataba wa miaka miwili.
.
Kiungo huyo alipita timu mbalimbali ikiwemo African Lyon, Ashanti United na Mwadui FC.View attachment 2298721
Naam mamaBabe!!
Kuhama ni ngumu maana inabidi nikabiliane na changamoto za hukuBabe nilishakwambia uhame huko.
Asante mkuuPole Mndali..
Nimesahau[emoji1787][emoji85][emoji85][emoji85]Si alisema hapa.[emoji28]
Ndio nani huko dasilama?Antonio Nugaz....Swahiba[emoji28]
Aaaah we! Unamjambazia nani?Nipo hivyo....Unajisahaulisha[emoji1787]
Kilimo siwez kuacha ajira zimekuwa za konekisheni sasa sisi wazazi walisahau kujuana na wenye nchi tutakumbukwa kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aache kilimo?
100%Manchester City alfajr ya leo walicheza mchezo wao la kirafiki nchini Marekani wakiwa na uzi wao wa ugenini kwa msimu mpya 2022/23
Uzi unaupa marks ngapi huuView attachment 2298694
Ndio kilimo ni uti wa mgongoKumbe analima[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ifanye Google kuwa Rafiki yako....Ndio nani huko dasilama?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aaaah we! Unamjambazia nani?