Makapuku Forum

Makapuku Forum

BREAKING| Kamati ya Maadili ya TFF imemhukumu Ndugu Haji Manara kutojihusisha na masuala ya soka ndani na nje ya nchi kipindi cha miaka miwili (2) na kutozwa faini ya Tsh. Milioni 20 [20,000,000]. Adhabu hiyo inaanza leo Alhamisi, Julai 21, 2022.
Screenshot_20220721-143835_OGInsta%2B.jpg
 
[emoji1060] BLAISE BIGIRIMANA [emoji3591] KMC FC
.
Kama unadhani KMC imelala kwenye ishu za usajili basi pole yako, kwani mabosi wa klabu hiyo ya Ligi Kuu wameamua kufanya mambo yao kimya.
.
Nipo hapa kuthibitisha wamekamilisha usajili wa straika kutoka Namungo FC, Blaise Bigirimana kwa mkataba wa mwaka mmoja.[emoji3578]
Screenshot_20220721-145354_OGInsta%2B.jpg
 
Back
Top Bottom