Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....acha woga, ujue kadri aunt yangu anavyonisagia kunguni napata mawazo ya kuachana na bajaji ya kuchangia nitoke zangu Mtwara na bodaboda langu hadi Dar. Tena nasikia mafuta ni rahisi hapo Dar, nikiweka wakati wa kuja unaweka wakati wa mizunguko, mimi naendesha tu unanionesha mji