Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
Aloooh kuchangia bajaji tena hapana jamaniiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...sawa lakini nimebadilika siku hizi, huoni ninajisogeza kwa Maki, sasa akijua kuhusu hilo anko alilokuwa ananisingizia nitaonekana siko makini kabisa.
Mwenzako nimepanga nikija Daslamu niende nikatembee pale kwenye daraja la Tanzanite nikapige picha na nimemwomba Makiwendo achukue mapumziko anipeleke darajani afu tunachangia bajaji inatupeleka Kitambaa cheupe