Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,192
- 35,370
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nini maghala lakini auntie
Si ndiyo huko anasemaga anafanya kazi Auntie...
Msukuma hafai kabisa huyo[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nini maghala lakini auntie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili la usukuma hili bado siliamini ebu binamu akuje kwanza ajibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si ndiyo huko anasemaga anafanya kazi Auntie...
Msukuma hafai kabisa huyo[emoji28]
...hatujazeeka sema tumeona mengi ha ahhahhaaEnzi zake diamond sound tupo vitoto jamani kweli tumezeeka
....duh, Upareni kaskazini huko ndiyo natuma maombi nikaribishwe lakini dalili bado sio nzuri kiviiiile.Hahahaha sasa binamu kama ntuzu mbona ako na vielement vya kipare na kikinga
...ghalani ndiyo nimeingia sasa, si unajua shifti yangu kulinda maghala ya korosho usiku ili wezi wasiyasogelee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja nimsubirie atoke kwenye Maghala...
....kweli kabisa, tena nakandamiza kweli kweli. Darasani sikuwa namuelewa mwalimu hadi atafasiri kwa kisukuma. Wakati wengine Kiswahili ni lugha ya kwanza, mimi ni lugha ya pili, nimeikutia shuleni secondary[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili la usukuma hili bado siliamini ebu binamu akuje kwanza ajibu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili la usukuma hili bado siliamini ebu binamu akuje kwanza ajibu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...umepatia kabisa sema ni nini ujue, ukifika mpakani mwa Bariadi na Magu hicho kijiji hapo ndiyo utanikuta jirani na joka lenye makengeza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....duh, Upareni kaskazini huko ndiyo natuma maombi nikaribishwe lakini dalili bado sio nzuri kiviiiile.
ukingani hapana, mfugaji mie, nyama na maziwa ndiyo ulevi wangu
[emoji28][emoji28][emoji28]...ghalani ndiyo nimeingia sasa, si unajua shifti yangu kulinda maghala ya korosho usiku ili wezi wasiyasogelee.
Nitakukaribisha (sio kulinda ila unilinde mimi)
...karibu sana, yale mengine unayosikia ni kama story za milima ya Morogoro kuna majoka yanapazwa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Gamboshi?
.....karibu sana, utanisaidie nikukesheshe halafu mchana unalala. Ulinzi sio jambo rahisi sema tu zama za inflation na shrinkflation kazi ni kazi, unaishika na kuikumbatia[emoji28][emoji28][emoji28]
Nami nitakaribia nije none hayo Maghala
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...karibu sana, yale mengine unayosikia ni kama story za milima ya Morogoro kuna majoka yanapazwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Humu mnataja makabila ya watu,vp mnataka kutambika?
Humu mnataja makabila ya watu,vp mnataka kutambika?