Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,391
- 95,846
Ahsante shangazi,nimepitia magazeti
Sawa Auntie....Sirudii tena.Mambo za wenyewe hizo auntie usirudie kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakina kalumbu kuna ujumbe wenu huku View attachment 2288451
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Mkaka wa kisukuma popole ulipo nakusalimia tu mimi jamani [emoji847]View attachment 2288452
Hongera sana Mkuu...[emoji23][emoji23][emoji23] sio jipyatu mm 2namiaka mitatu na beib wng lakn bado tunachat ivyo
😂😂😂Asanteh mkuuHongera sana Mkuu...
Asante kwa kuniita mtu wangu wa nguvu kabisa.
Ningeomba kuwa wa kabila hilo jamani, sijui kwa nini nilizaliwa milimani..
hahahaha,ungetumia languHaahahaa kama sina hilo koti jeee
Mmmmmh!He he he he....
Hiyo haipo...njoo utapatana na Ka Kitu Amazing..[emoji1]
Mimi napenda🤣[emoji23][emoji23][emoji23] sipendi maubuyu mimi wala juice zake
Auntie unavuta cha wapi siku hizi?Niache we dada
Watu wa mlimani mnaendana endana sana na hao watu.[emoji28]Asante kwa kuniita mtu wangu wa nguvu kabisa.
Ila sasa shem mbona mimi sio mnyaki, haha...au wa milimani tunaendana na hawa jamaa! Au ujumbe unashabihiana na vitabia vyangu..[emoji23]
Ningeomba kuwa wa kabila hilo jamani, sijui kwa nini nilizaliwa milimani..
Hahaha, huku kwa makapuku mimi sihusiki. Nikapitia headlines za magazeti, huyu Shunie yuko vizuri.He he he...Shem...
Huku utakuja tu...hata kwa kimya kimya..Nakumanya vyema.
Kweli umetuchoka, nitakutafutia wa milimani upambane nae🤣🤣🤣Watu wa mlimani mnaendana endana sana na hao watu.[emoji28]
....duh, ankal mbona mimi mgeni kabisa humu na ndiyo kwanza nimeingia leo toka Chikundi. Kuna jipya gani kwani, kabla sijakueleza mazuri niliyokutanayo kule. Halafu nilipata barua toka kwa yule mtu wako wa siku zote, anakusalimiaAnkoo abj ulimkataza jf eti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
.....nikicomment kitu chochote hapa nitasemwa najipendelea.[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Wasukuma kweli wana pepo yao....
Ila wale Wanaume wakisukuma wale...kabla ya Huu Utandawazi walitisha sana....
Asante we mzee kwa kushukuruAhsante shangazi,nimepitia magazeti
Muonee kama kweli vileSawa Auntie....Sirudii tena.