[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti buku 3, seriously!! Airtel hawako serious kabisa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani mkinipa hela sasa ndio itakuwa inatoka from ze hati na bandama na firigisi zote. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah!
Hii salamu imenifanya nipige breki kwanza...[emoji56][emoji56]
Espy Atoto huyu mtoto wako umembatiza na kumbadili jina ama?
We jifanye umekubuhu urudie tena kumtongoza wakati ulishamtongoza. Nakuzoom tu.Dah!
Hii salamu imenifanya nipige breki kwanza...[emoji56][emoji56]
Espy Atoto huyu mtoto wako umembatiza na kumbadili jina ama?
Sasa wewe si ushafika huko juu juu, ndio ukope sasa tugawane[emoji1787][emoji1787]Uko kukata tamaa mwanzoni auntie ndio kunakuponza wenzio tumeanza hivyohivyo
Ananipendi ndio vitu gani? Nafsi inakusuta maana ulitaka kuandika ananipenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeye ndiyo ananipendi Mndali..
Ila mimi nampenda..
Huh!!!Endelea kumwombea ili awe na upendo
Anayetoa pesa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aahh hapana utakuwa umefanya hivyo sababu ya pesa na si sababu ya upendo
Kati ya mtu anayeitwa hivyo kwa kutoa pesa na mtu anayeitwa hivyo bila kutoa chochote yupi anapendwa
Hivi vibabu vina taabu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ulikuwa hujanigundua
Basi ndiyo maana ukaanza kampeni
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Nini mama
Mzima wewe
Sawa ila najua maombi ni sehemu ya utakaso mpyaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sina hakika!
Oooh!!Sawa ila najua maombi ni sehemu ya utakaso mpyaa