Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,186
- 35,340
[emoji23]KwendraaaaaaMajambazi.
[emoji23]KwendraaaaaaMajambazi.
Dah!!!!Itakuwa ni matumizi mabaya ya hilo neno[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]My dyadya, tajiriiiii.
Nimekumisimo, si ukuje tu!!
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23]Kwendraaaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda zako huko bhana...
Kwa hiyo likifikisha miaka 10 tufanye shereke Cookie?[emoji2]Kwanini jina la Makapuku libadilishwe?
Makapuku limetumika miaka 6 sasa
Karibu Obe....... weekend yangu umeifanya iwe nzuri. Niingie lindo nikiwa na tabasamu limefunika uso wangu
Yeye ndiyo ananipendi Mndali..Inaonekana ndugu hampendan
Mimi sina Ujinga wako huu aiseee[emoji2]Nimerithi kwako dyadya[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rich Aunty ya nyokwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebu niache
Eti limetumika miaka sita[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo likifikisha miaka 10 tufanye shereke Cookie?[emoji2]
Ni kweli, wewe umezidi [emoji1787]Mimi sina Ujinga wako huu aiseee[emoji2]
Aunty haya mambo ni zamu zamu jamani, bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi tasavali [emoji23][emoji23]Si uwe unaniita na mimi hivi jamani....
Sasa neno Love ni la kuacha kuniita kweli?
[emoji23]
Kumbe mnapenda eeeh? Nitaanza kuwalipisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aunty haya mambo ni zamu zamu jamani, bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi tasavali [emoji23][emoji23]
Mimi mbona siku nyingine akiwa anawaita hivyo huwa natulia tu, hata mimi ningependa awe ananiita hivyo ila inatakiwa tusubiri siku akijisikia tusimlazimishe [emoji1787][emoji1787]
Yaani raha ya kuitwa hivyo hutakiwi kuomba unaacha tu siku akijisikia mwenyewe anakuita hivyo then unajua this is from the heart, basi bichwa hilooo [emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]We nicheke tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe mnapenda eeeh? Nitaanza kuwalipisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] muda upii nipo nasinzia mida yangu ya kulala si unajua imeshafika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie Nimecheka jamani....
Hata sijajua Jamani...
Ni ile inaishia 75 Auntie...
Ngoja nakuchek muda siyo mrefu...
Eti buku 3, seriously!! Airtel hawako serious kabisa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimecheka vile naelewa hali halisi
Ni mwendo wa kukopa buku buku tu maana wengine miamala yetu ya kichovu
Auntie anza hivyohivyo wanakupandisha mpaka kwenye malakiEti buku 3, seriously!! Airtel hawako serious kabisa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mkinipa hela sasa ndio itakuwa inatoka from ze hati na bandama na firigisi zote. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aah sasa ukianza kutulipisha inakuwa noti from ze hati
Hiyo inapendeza iwe from ze hati momma