Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,002
- 150,528
Mkuu nilikosea hizi bar hiziBoya tena.......
Mkuu nilikosea hizi bar hiziBoya tena.......
Usiku mwema Shem wangu...Sawa Shem nimekwelewa
Simu alikuwa nayo binamu shemWoiiiii
Nawe piaUsiku mwema Shem wangu...
Hahaha hahaha nimejiongeza tu kuulizaMkuu nilikosea hizi bar hizi
Ahsante Shem wanguNawe pia
Amen..AmenNiwatakie Usk mwema wote
Mungu alivyo tupa afya na maarifa kwa Leo na akatufanyie Usk kuwa na ndoto njema na ulinzi wa nalaika ukatamalaki katika nyumba zetu na zile nguvu zilizo kinyume na lengo lake kwetu basi malaika wake wakazidishwe zaidi ili tuendelee kuwa salama na akatwamshe salama
Amen
Niwatakie Usk mwema wote
Mungu alivyo tupa afya na maarifa kwa Leo na akatufanyie Usk kuwa na ndoto njema na ulinzi wa nalaika ukatamalaki katika nyumba zetu na zile nguvu zilizo kinyume na lengo lake kwetu basi malaika wake wakazidishwe zaidi ili tuendelee kuwa salama na akatwamshe salama
Amen
Sawa.Hayakuhusu![]()
Sio anaonekana.hii ya kikuu babe wangu anaonekana haaminiki
Jicho la tatuJicho la tatu linaniambia nataka kumiliki wakati kuna hatimiliki



Auntie maki nimekuwekea weweView attachment 2196933






Dudumizi.
Haya maneno mbona sio mageni kwangu!! Niliyaona wapi hiviEti shunie akikushindwa nipo hapa nakusubiri ninavyokujua wewe hakuwezi we nakuweza mimi.acha nilale tu kesho naamka alfajiri




Kwahiyo mimi mkate!! Kichwa kama kijiko.Aunty kauzu sana yule..
Ila taratibu tu.. tutafika..
Nimemwambia Mndali hakuna mkate mgumu mbele ya chai.. Aende naye hivyo hivyo![]()
Haya maneno mbona sio mageni kwangu!! Niliyaona wapi hivi![]()


haya maneno Lee alianza kuniambia hapahapa makapuku akaja sijui na WhatsApp tena akayarudia