Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,675
Mndali usiwaze...Mmmmh
Mashemeji zako tuko hapa...Tunakulove sana..
Mndali usiwaze...Mmmmh
Ila kuna raha yake ...si unaona sasa hivi nilimwambia yatamshindaaaa
Hizi mambo sijawahi kuexprience ujue Shem....
Sasa ulikuwa unakutana na hiyo unable si ulikuwa unatukana matusi yote![]()
Hivi aunt ashaanza kumuona kwenye maji?Mndali usiwaze...
Mashemeji zako tuko hapa...Tunakulove sana..
Ahsante Auntie.. nimeona...Auntie maki nimekuwekea weweView attachment 2196933


Mwache mama yetuAhsante Auntie.. nimeona...
Ila huyu Mama yetu jamani
Huku Nchi kamwachia Mpango![]()
Ngoja likizo yangu imalizike nirud zangu porini maana huku naweza leta ukame bahariniMndali usiwaze...
Mashemeji zako tuko hapa...Tunakulove sana..
Saa hii hawezi tena...


tushavuka mishale mingi sanaa tulipofikia tuzeeke pamoja tuHahahaha na hapo nmetoka kuomba sorry na nikachangia chupa ya kijani







Ndio ndioMndali usiwaze...
Mashemeji zako tuko hapa...Tunakulove sana..



baada ya kublockiwa WhatsApp nikaja kwenye text za kawaida acha nijishushe wapiiiiiSio rahisi kulimwa block, Au ni mimi sijaelewa..Unatuma sms ya kawaida make kule sio rahisi kama whatsap
Nimecheka kwa sauti ya juu mnooHivi aunt ashaanza kumuona kwenye maji?
Ila kuna raha yake ...si unaona sasa hivi nilimwambia yatamshindaaaa



raha ipi sasa
Na dalili ya kurudi hana kabisaAhsante Auntie.. nimeona...
Ila huyu Mama yetu jamani
Huku Nchi kamwachia Mpango![]()
Unaujua ule wimbo wa Mwijuma Muumini Shem..
Unaimba hivi.. kupenda kubaya ×2
Naambulia kibuti...kila ntendalo mie bahati yangu mbaya.. Unaujua?![]()





Ila kuna raha yake ...si unaona sasa hivi nilimwambia yatamshindaaaa






🤣🤣🤣🤣🤣 wewe huyo kujishushabaada ya kublockiwa WhatsApp nikaja kwenye text za kawaida acha nijishushe wapiiiii
Eti shunie akikushindwa nipo hapa nakusubiri ninavyokujua wewe hakuwezi we nakuweza mimi.
Nimecheka sana Shem...niache tafadhali..


acha nilale tu kesho naamka alfajiri