Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220407-081627_Opera%20Mini.jpg
 
Ah wapi[emoji1787]



Yote kwa yote kuna kiazi anaimbishwa pambio na anaimba.
Hii dunia bwana[emoji2296]...@Heaven Sent huyu kiazi atapewa Energy drink ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkiongea mambo za energy drink mnaniachaa yaani sielewi hata
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkiongea mambo za energy drink mnaniachaa yaani sielewi hata
Yaani kuna watu peponi wakifika itabidi wapewe energy drink kwanza kwa jinsi wslivyochoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani kuna watu peponi wakifika itabidi wapewe eneryd drink kwanza kwa jinsi wslivyochoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa huyo kiazi anayeimba anapita huku na like anatoa sijui zinakuwaga bahati mbaya au huwa tunabaki kushangaa na auntie yangu Makiwendo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila Anne unanifundisha tabisa mbaya sinaga hizi mambo jamani
 
Umoja wa Mataifa umesema hadi sasa ni takriban Raia 1,563 wa Ukraine wameuawa tangu Urusi ianze kuishambulia kijeshi Nchi hiyo ambapo Raia wengine 2,213 wamejeruhiwa.

"takwimu halisi ni kubwa zaidi kwani upokeaji wa taarifa kutoka baadhi ya maeneo ambako vita ni kali ripoti nyingi bado zinasubiri kuthibitishwa, maeneo ambako kuna vifo vingi ni Mariupol na Volnovakha (eneo la Donetsk), Izium (mkoa wa Kharkiv), Popasna (mkoa wa Luhansk)na Borodianka (mkoa wa Kyiv) kama mifano ya maeneo ambayo kumekuwa na madai ya vifo vingi vya raia” ——— imeeleza Ripoti hiyo.
Screenshot_20220407-093837_Instagram.jpg
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo amewasilisha Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2022/23 ambapo wakati wa michango ya Wabunge iliibuliwa hoja ya kubadilisha namna ya kuenzi mbio za mwenge ili kuepuka gharama.

Hoja hiyo imeibuliwa na Mbunge wa viti maalum Nusrat Hanje aliyenukuliwa akisema “Sijawahi kuona bungeni ikijadiliwa bajeti ya mbio za mwenge kitaifa wala sijawahi kusoma ripoti ya CAG ikijadili kuhusiana na gharama za mbio za mwenge hivi hatuwezi kutumia ubunifu mwingine kwaajili ya kuenzi na kuheshimu mwenge huu??”

Screenshot_20220407-094116_Instagram.jpg
 
KISA KANUNI CHAMA KUIKOSA ROBO FAINALI !!
.
Kwa mujibu wa kanuni ya nne ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu, mchezaji aliyetumika ama kwa kuanza kikosi cha kwanza au kwa kuingia kutokea benchi katika mchezo wowote wa mashindano hayo, hatoruhusiwa kuchezea klabu nyingine jambo ambalo linamfanya staa wa Simba, Clatous Chama aikose Orlando Pirates kwenye robo fainali.
.
Si hapo tu hata hatua zinazofuata za mashindano hayo ikiwa Simba itasonga mbele hataruhusiwa kucheza msimu huu.
.

……………..
Screenshot_20220407-102914_Instagram.jpg
 
[emoji460]️ MABAO MENGI UEFA CHAMPIONS LEAGUE
.
1. Cristiano Ronaldo — 140
2. Lionel Messi — 125
3. Robert Lewandowski — 85
4. Karim Benzema — 82 [emoji683]
5. Raul Gonzalez — 71
Screenshot_20220407-103147_Instagram.jpg
 
[emoji3578][emoji3578] Farhan Jr

Naam kwasasa nipo kwenye Mahakama wa mpira baada ya kukamatwa usiku wa jana kuwa nimedanganya umma wa Tanzania

Kesi yangu haina dhamana wamesema, hivyo baada ya jana kukaa lock up pamoja na Azam FC, Police Tanzania, Coastal Union, Mbeya Kwanza, Namungo, Mtibwa ambao wao wapo pia kwa makosa yao

Nimeambiwa nijiandae kusimama mbele ya Jaji Mfawidhi, kuelezea au kujitetea ule ulioitwa uongo! Nilisema Yanga jana ameshinda El derby de Mzizima bila KHALID AUCHO (Mahakama nzima imeshika kichwa)

Nikasema pia Yanga imeshinda bila FEISAL SALUM (Jaji nikamuona ananukuu vitu huku akiwa amekasirishwa na ule uitwao uongo wangu (Mahakama nzima inasikitika)

Nikaendelea kusema PAS DE YANNICK BANGALA, PAS DE PROBLEME, (Nikaona jopo la Wanasheria upande wa Jamhuri wananong’onezana) ghafla wakasema nitafsiri hiyo kauli yangu kwa Kiswahili

Kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya Jaji nikajibu PAS DE BANGALA, PAS DE PROBLEME! Maana yake ni kuwa HAKUNA YANNICK BANGALA, HAKUNA TATIZO (Ghafla Mahakama nzima wakiwemo ndugu zangu walishika vichwa kuwa naendelea kuongopa mahakamani)

Baada ya ukimya basi Wakili upande wa Jamhuri aliniuliza swali, “Ndugu Farhan Kihamu, ni kweli kuwa hukuwa umelewa ama kutumia Bob Marley wakati unatoa kauli hizo?” Maana Wakili wako amekutetea hivyo

Kwa utulivu tena na unyenyekevu mbele ya Jaji, nikajibu, “Kwanini niwe muongo, kwanini niseme tofauti mbele ya Mamlaka? Nikiendelea kusema wameshinda bila Kibwana Shomari, bila Farid Mussa, mtanielewa”? (Mahakama yote vilio na Jaji akawa anafuta miwani)

Baada ya ukimya, ndipo Jaji akaanza kuzungumza “Tumesikia utetezi upande wa Mshitakiwa na Jamhuri, hivyo naghairisha kesi hii namba 2-1, mpaka April 30, ambapo itasomwa upya na Mshitakiwa anaruhusiwa kuja na jopo jipya la Mawakili”

Nawageukia Wanangu na kuwaambia waje na Lineup na clip za mechi hii, wamwambie Kaka @_babaparoko aje na sweta, aje na Wakili msomi @simon.esq na kibopa @caamil_88 na Kocha Nabi maana wao ndio wamenitia matatizoni[emoji3]
Screenshot_20220407-103406_Instagram.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa huyo kiazi anayeimba anapita huku na like anatoa sijui zinakuwaga bahati mbaya au huwa tunabaki kushangaa na auntie yangu Makiwendo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila Anne unanifundisha tabisa mbaya sinaga hizi mambo jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naumwa Auntie...Niache tafadhali..
Nimecheka kama chizi ujue...

Itakuwa kiazi alipitiwa...chezea kumfuatilia mtu wewe[emoji23]
 
KISA KANUNI CHAMA KUIKOSA ROBO FAINALI !!
.
Kwa mujibu wa kanuni ya nne ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu, mchezaji aliyetumika ama kwa kuanza kikosi cha kwanza au kwa kuingia kutokea benchi katika mchezo wowote wa mashindano hayo, hatoruhusiwa kuchezea klabu nyingine jambo ambalo linamfanya staa wa Simba, Clatous Chama aikose Orlando Pirates kwenye robo fainali.
.
Si hapo tu hata hatua zinazofuata za mashindano hayo ikiwa Simba itasonga mbele hataruhusiwa kucheza msimu huu.
.

……………..
View attachment 2178798
Hizi habari kila nikikutana nazo nazipita kama sizioni. Sitaki kuamini ninachosoma...

Natamani hizo Sheria kwa Chapa wazifanyia marekebisho kidogo[emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naumwa Auntie...Niache tafadhali..
Nimecheka kama chizi ujue...

Itakuwa kiazi alipitiwa...chezea kumfuatilia mtu wewe[emoji23]
Pole Auntie jamani kwa kuumwa usiniambia ndio huu ugonjwa ulioningia wa mafua na kifua [emoji8]

Kiazi kazi anayo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani Saint Anne kafikiria nini kumpa hilo jina
 
Back
Top Bottom