Makapuku Forum

Makapuku Forum

| Pablo Franco:
.
“Tumekuwa na michezo inayofuatana na tulifanya mazoezi kabla hatujasafiri, sijui utakuwa ni mchezo wa namna gani lakini lengo letu ni kupata ushindi.”
Screenshot_20220407-145449_Instagram.jpg
 
• Kufuatia mvutano uliopo kuhusu ukweli wa nani amehusika na mauaji ya Watu wasio na hatia katika eneo la Bucha nchini Ukraine ambao miili yao ilikutwa ikiwa imetapakaa mitaani, China imetaja Jumuiya za Kimataifa kufanya uchunguzi wa haraka ili chanzo cha mauaji hayo kijulikane badala ya kuendelea kunyoosheana vidole.

Ukraine inasema Urusi imehusika na mauaji hayo lakini Urusi inakanusha na kusema Ukraine na Marekani wamehusika na mauaji na kuitupa miili hiyo mitaani ili kufanya propaganda na Urusi ilaumiwe.
Screenshot_20220407-145723_Instagram.jpg
 
• Mbunge wa Gairo Ahmed Shabiby ameiomba Serikali kubadilisha utaratibu wa sasa wa uagizaji mafuta ili kuepuka changamoto ya kupanda kwa bidhaa hiyo mara kwa mara.

Akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Waziri Mkuu 2022/23 Mbunge Shabiby amesema, utaratibu wa Bulk Procurement unaotumika sasa haileti ushindani na hivyo kusababisha mafuta kuuzwa kwa bei moja hata kama Mfanyabiashara alitamani kuuza kwa bei ya chini.

"Kuwa na vita ya Urusi na Ukraine kwa Tanzania ni fursa kwa Tanzania na nchi nyingine ni fursa ya kupata mafuta kwa bei rahisi lakini kwetu sisi imekuwa ni moto, kwa nini nakuambia ni fursa, sasa hivi ninavyokuambia kule Deep Sea kuna meli zinauza robo ya bei ya dunia ukimruhusu mfanyabiashara wa binafsi yeye kazi yake anapoenda pale anachukua meli kwa meli anapakia mzigo anakuja, nyie Watu wa EWURA kazi yenu mafuta haya kwa bei ya dunia yasizidi hapa na TBS mnaangalia yanatimiza kiwango basi lakini unataka tu kupanga na angalieni kwenye hiyo Bulk Procurement Watu wanakula hela sio mchezo"
Screenshot_20220407-145851_Instagram.jpg
 
Pole Auntie jamani kwa kuumwa usiniambia ndio huu ugonjwa ulioningia wa mafua na kifua

Kiazi kazi anayo yaani Saint Anne kafikiria nini kumpa hilo jina
Ahsante Auntie wangu Mzuri...

Ndiyo jamani..Haya mafua sijawahi kuumwa mimi aiseee...
Unajua nilivyokuwa naona watu wanaongelea hii kitu nikaona Utani...

Auntie kama jana nilikuwa hoi afadhali leo...Huu Ugonjwa upite tu..

Anne ni mchokozi sana huyokwamba kiazi...Jamani
 
Ahsante Auntie wangu Mzuri...

Ndiyo jamani..Haya mafua sijawahi kuumwa mimi aiseee...
Unajua nilivyokuwa naona watu wanaongelea hii kitu nikaona Utani...

Auntie kama jana nilikuwa hoi afadhali leo...Huu Ugonjwa upite tu..

Anne ni mchokozi sana huyokwamba kiazi...Jamani
Pole sana Antie kunywa dawa tengeneza tangawizi na malimao unywe kwa sana utakaa sawa

Anne ni mchokozi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom