Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
UNAAMBIWA
Kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya mwaka 1971 Tanzania, Mke pia anao wajibu wa kumuuudumia Mume wake ikiwa Mume huyo atakuwa anapitia changamoto za kiuchumi kwa sababu za kiafya/akili ikiwa anacho kipato cha kuwezesha kufanya hivyo na sio kumkimbia/kumtelekeza.
Kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya mwaka 1971 Tanzania, Mke pia anao wajibu wa kumuuudumia Mume wake ikiwa Mume huyo atakuwa anapitia changamoto za kiuchumi kwa sababu za kiafya/akili ikiwa anacho kipato cha kuwezesha kufanya hivyo na sio kumkimbia/kumtelekeza.