Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
| Victorien Adebayor:
.
“Sio rahisi mashabiki kuonyesha kitu kama kile hasa unapokwenda kwao, hii ni upendo mkubwa na heshima kwangu nami nawatakia kila la kheri huko mbele naamini watafanikiwa zaidi.
.
“Bado tunazungumza na Rais wa Simba hatujafikia hatua ya kukubaliana lakini kila kitu kinakwenda vizuri hakuna shida,” - amesema Adebayor [via Mwanaspoti]
.
“Sio rahisi mashabiki kuonyesha kitu kama kile hasa unapokwenda kwao, hii ni upendo mkubwa na heshima kwangu nami nawatakia kila la kheri huko mbele naamini watafanikiwa zaidi.
.
“Bado tunazungumza na Rais wa Simba hatujafikia hatua ya kukubaliana lakini kila kitu kinakwenda vizuri hakuna shida,” - amesema Adebayor [via Mwanaspoti]