Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba na wewe unaacha kula?[emoji2]Wanadamu...wanadamu..si unipongeze hata[emoji28]
Nitakupongeza kipenzi changu, baada ya kuninunulia ist japo hata pa kuipark sina. Najua mafuta nitagongea shell kwa auntie, service itajijua.
 
Kila jambo na majira yake...Haya ni majira ya yeye kuwa msomaji tu..
Binafsi nimemmisa aisee..yule Karma akiamua lake hakuna anaweza kumshinda[emoji16]
Labda jina jipya litakuja na mambo mapya, si bora karma, unamfahamu Edelyn wewe? Alikuwa moto wa kuotea mbali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanyakyusa hawa bwana [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Labda jina jipya litakuja na mambo mapya, si bora karma, unamfahamu Edelyn wewe? Alikuwa moto wa kuotea mbali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanyakyusa hawa bwana [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Namkumbuka.. Watu walichoka pale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom